UMUHIMU WA KAMUSI



UMUHIMU / MATUMIZI  YA KAMUSI

Kamusi ina matumizi mengi mengi katika kumuwezesha msomaji kuweza kufanya kazi zake  kwa ufanisi wa hali ya juu .miongoni mwa matumizi ya kamusi ni kama yafuatayo

1.      Kamusi huonesha tahajia (spellings) za maneno.

2.      Kamusi husaidia kuonesha asili ya neno.

3        Kamusi husaidia kuonesha matamshi shahihi ya maneno.

4        Kamusi hueleza maana (fasili) mbalimbali ya maneno.

5            Kamusi huonesha misemo,semi,misimu,na methali mbali mbali.

6            Kamusi husaidia kuongeza maarifa zaidi kuhusu lugha ya mzungumzaji.

7        Kamusi husaidia kujifunza lugha za kigeni.

No comments:

Post a Comment

MATUMIZI YA KAMUSI

MATUMIZI YA KAMUSI NI MUHIMU SANA KWA WATUMIAJI WA LUGHA HUSIKA KWA SABABU HUKUZA LUGHA YA MTUMIAJI